Monday, 15 June 2015

MISHE MISHE AT HOME TOWN SOCIAL

Nimewasili katika chuo kikuu cha dodoma mnamo tarehe 25/11/2014. Nilipokelewa na kukamilisha usajili kufikia tarehe 3 december ya mwaka huo huo nikiwa kama mwanachuo wa chuo kikuu cha dodoma ninaechukua SDE ya mathematics with ict.Tulianza masomo rasmi wiki mbili baadae.Masomo yaliendelea kwa semista ya kwanza ambapo tulikuwa na kozi nane,zikiwemo tatu za hesabu,tatu za it,moja ya ED na mwisho ya LG.Na  masomo yalikuwa kama yanavyoonekana kwenye picha hapo chini:

 Sasa ni semista ya pili,namshukuru mungu ninaendelea vizuri na masomo yangu ya diploma na natarajia baada ya kumaliza masomo yangu hapa udom nitaajiriwa kama mwalimu kwa ngazi ya diploma na ntaendeleza maisha yangu na familia yangu tarajiwa na mke wangu mtarajiwa MS JACKLINE,Mungu nibariki na mungu yaongoze masomo yangu.

nyakati za asubuhi naingia computer lab kwa ajili ya kupata some concepts muhimu.

mjini social mahali ambapo napata pumziko baada ya mishe mishe za masomo za siku mzima.